Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
Hali za ndoa
Date: August 19, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Mjini shule. Soma hii
Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
Ba... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?
JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!
Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More
Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi
Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuuβ¦..
Interviewer: where were ...
Read More
Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa
Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa
Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More
Sitasahau mwaka huu
Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswa...
Read More
Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere
Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesaβ¦
Trust me Kuna wanawa... Read More
Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii
Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More
Benjamin Kibicho (Guest) on July 11, 2024
Hii ni kali sana! ππ€£
Guest (Guest) on November 24, 2025
MAHUMB
Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 10, 2024
π Bado ninacheka!
Nora Kidata (Guest) on July 7, 2024
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
John Mushi (Guest) on June 20, 2024
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2024
ππ€£ππ
Mwajuma (Guest) on June 11, 2024
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Catherine Mkumbo (Guest) on May 23, 2024
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Adventina chriss (Guest) on May 11, 2024
Marriage are not to be easy
Mwanais (Guest) on May 10, 2024
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Thomas Mtaki (Guest) on May 9, 2024
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
David Sokoine (Guest) on April 20, 2024
π Hii imenigonga kweli!
George Tenga (Guest) on February 12, 2024
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Samson Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Umi (Guest) on January 13, 2024
π Nilihitaji hii!
Shukuru (Guest) on December 27, 2023
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
John Mwangi (Guest) on December 24, 2023
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Janet Wambura (Guest) on December 24, 2023
Hii imenichekesha sana! π€£π
Esther Nyambura (Guest) on December 17, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Joseph Kitine (Guest) on December 16, 2023
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Jane Malecela (Guest) on December 5, 2023
π Nacheka hadi chini!
Josephine Nduta (Guest) on November 24, 2023
Umesema kweli! ππ
Anna Sumari (Guest) on November 20, 2023
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Kenneth Murithi (Guest) on November 16, 2023
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Lydia Wanyama (Guest) on October 5, 2023
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
David Sokoine (Guest) on October 2, 2023
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Bernard Oduor (Guest) on September 9, 2023
π πππ
Edward Chepkoech (Guest) on September 2, 2023
π Lazima nihifadhi hii!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 2, 2023
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Rubea (Guest) on August 27, 2023
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Moses Kipkemboi (Guest) on August 12, 2023
π€£π₯π
Lydia Mutheu (Guest) on August 2, 2023
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Neema (Guest) on June 23, 2023
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Patrick Kidata (Guest) on June 2, 2023
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Charles Mboje (Guest) on May 26, 2023
ππ€£ππ
Kenneth Murithi (Guest) on May 18, 2023
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Wilson Ombati (Guest) on May 10, 2023
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 27, 2023
π Kichekesho gani!
Frank Sokoine (Guest) on February 17, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Peter Tibaijuka (Guest) on January 30, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Nancy Komba (Guest) on January 27, 2023
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Ann Wambui (Guest) on January 17, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Susan Wangari (Guest) on January 11, 2023
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Josephine Nekesa (Guest) on January 8, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Edward Chepkoech (Guest) on December 26, 2022
π Nitaiiba hii bila shaka!
Mwanais (Guest) on December 10, 2022
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
David Sokoine (Guest) on November 28, 2022
ππ
Rahma (Guest) on November 20, 2022
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2022
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Mwajabu (Guest) on October 29, 2022
π Kali sana!
Martin Otieno (Guest) on October 18, 2022
ππ ππ
Andrew Mahiga (Guest) on October 9, 2022
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Mary Kendi (Guest) on September 30, 2022
π Ninaihifadhi hii!
Mary Njeri (Guest) on September 19, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Emily Chepngeno (Guest) on September 13, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Jamal (Guest) on August 24, 2022
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Nahida (Guest) on August 10, 2022
π Kichekesho kamili!
Francis Mrope (Guest) on August 4, 2022
Nimefurahia hii sana! ππ