Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Christopher Oloo (Guest) on July 19, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on July 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on June 21, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on June 9, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on May 31, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mushi (Guest) on May 5, 2024

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 16, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on March 15, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Mahiga (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 5, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on March 3, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Fadhila (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Omar (Guest) on January 11, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Paul Ndomba (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Otieno (Guest) on December 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on December 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on November 20, 2023

😊🀣πŸ”₯

James Mduma (Guest) on November 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on October 29, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwagonda (Guest) on September 25, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mgeni (Guest) on August 16, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mzee (Guest) on July 26, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on July 20, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Neema (Guest) on July 2, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Kamande (Guest) on June 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Wairimu (Guest) on May 21, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on May 19, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on April 26, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Halimah (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mhina (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Mrope (Guest) on April 3, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on March 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Abubakar (Guest) on March 8, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on January 21, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 16, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on January 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on December 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Elijah Mutua (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on October 17, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on September 9, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Janet Sumari (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Wanjala (Guest) on July 2, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nasra (Guest) on June 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rabia (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Chris Okello (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fikiri (Guest) on June 7, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Maida (Guest) on May 29, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on April 27, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 15, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Amukowa (Guest) on March 9, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More