Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Wambui (Guest) on July 6, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on June 20, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on June 9, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Akech (Guest) on June 4, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on May 6, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Saidi (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jafari (Guest) on April 12, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Lydia Mutheu (Guest) on April 1, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on March 17, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Monica Lissu (Guest) on March 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on January 24, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on January 20, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Faiza (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Wilson Ombati (Guest) on January 2, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Baridi (Guest) on January 1, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mahiga (Guest) on December 27, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sumaya (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 14, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on November 24, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Mushi (Guest) on November 20, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on November 4, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on October 30, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Issa (Guest) on October 10, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Chacha (Guest) on September 24, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Nkya (Guest) on September 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on August 19, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 25, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Daniel Obura (Guest) on May 13, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khatib (Guest) on April 26, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on March 20, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 19, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on March 15, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on February 28, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on January 23, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sekela (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Francis Mrope (Guest) on January 6, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mercy Atieno (Guest) on December 21, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on December 16, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

John Lissu (Guest) on December 10, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Baridi (Guest) on September 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Irene Makena (Guest) on September 24, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on August 20, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Umi (Guest) on July 24, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on July 22, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

George Ndungu (Guest) on July 17, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on April 29, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Abubakari (Guest) on April 25, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 15, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Nkya (Guest) on March 29, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on February 22, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zakia (Guest) on February 19, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on February 12, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Lucy Wangui (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on December 17, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More