Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti: Hallow mpenzi, Mambo





Jamaa: Poa baby





Binti:Uko wapi?





Jamaa: Niko town napata lunch





Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi





Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?





Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.





Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.





Binti: Kwanini dear?





Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zubeida (Guest) on July 4, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Henry Sokoine (Guest) on July 1, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Tenga (Guest) on June 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on June 19, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on June 4, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rukia (Guest) on April 6, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on March 19, 2024

🀣πŸ”₯😊

Fredrick Mutiso (Guest) on February 22, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on January 12, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on December 31, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Mzee (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fadhila (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kitine (Guest) on November 23, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Faiza (Guest) on November 17, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on November 6, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on October 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on October 17, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on September 27, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Rose Mwinuka (Guest) on September 8, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on August 31, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on August 22, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Nyerere (Guest) on August 13, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on July 20, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samuel Were (Guest) on July 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sarafina (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Jamila (Guest) on May 16, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Josephine Nduta (Guest) on May 5, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on April 25, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on March 1, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Simon Kiprono (Guest) on February 18, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Kheri (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Farida (Guest) on January 1, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on December 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Mallya (Guest) on December 20, 2022

😊🀣πŸ”₯

John Lissu (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 1, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edward Lowassa (Guest) on October 25, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on September 20, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Omondi (Guest) on July 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 8, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Ruth Mtangi (Guest) on July 1, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on June 6, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sharon Kibiru (Guest) on June 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on May 12, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Mchome (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on April 11, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More