Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

shayumastersr (User) on April 27, 2025

Hahaha hii kali canA

Ibrahim (Guest) on July 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Wafula (Guest) on July 18, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 10, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on May 1, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Salum (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Kamande (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mary Sokoine (Guest) on March 10, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Martin Otieno (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Edward Chepkoech (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on January 5, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on December 18, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 9, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Musyoka (Guest) on October 26, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on October 15, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mary Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Arifa (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Malecela (Guest) on September 20, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Josephine Nekesa (Guest) on September 1, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on August 11, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on July 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on July 21, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanais (Guest) on July 16, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Michael Mboya (Guest) on July 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Victor Malima (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 13, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on April 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 28, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 25, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hassan (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Martin Otieno (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Ndunguru (Guest) on March 19, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on February 28, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on February 10, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Mahiga (Guest) on January 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Frank Macha (Guest) on December 10, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on October 1, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 7, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Sarafina (Guest) on August 30, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Malisa (Guest) on August 10, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on July 13, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on July 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Susan Wangari (Guest) on June 23, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on June 22, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Fikiri (Guest) on June 12, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

James Malima (Guest) on April 3, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on March 15, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on February 26, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on February 22, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on February 12, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More