Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu panya wa tatu ni noma

Featured Image

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Panya 1:Β jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!

Panya 2Β Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa

RAT 3Β Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!

Panya WA 1 na 2 wakazimiaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 9, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Edith Cherotich (Guest) on July 1, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 19, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on May 22, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on May 19, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Baraka (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nora Lowassa (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

John Lissu (Guest) on March 20, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on March 15, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Simon Kiprono (Guest) on January 4, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on December 30, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mary Mrope (Guest) on December 18, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on November 26, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 7, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on August 30, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Anna Mahiga (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on August 25, 2023

🀣πŸ”₯😊

Martin Otieno (Guest) on August 19, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 17, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Ochieng (Guest) on August 14, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 14, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bahati (Guest) on July 1, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Tabitha Okumu (Guest) on May 4, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on March 22, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

James Kawawa (Guest) on March 1, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwafirika (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Kawawa (Guest) on February 14, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Omari (Guest) on January 21, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

James Kawawa (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwanaisha (Guest) on January 3, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Fikiri (Guest) on December 30, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Makena (Guest) on October 30, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Patrick Mutua (Guest) on October 28, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on October 23, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on September 26, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Nassor (Guest) on August 17, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Henry Sokoine (Guest) on August 9, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on August 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Ann Wambui (Guest) on July 3, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on June 22, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on June 5, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on May 23, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Tenga (Guest) on May 21, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Kiwanga (Guest) on May 12, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on April 30, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jane Muthui (Guest) on April 7, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Alex Nyamweya (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthoni (Guest) on March 17, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on March 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on February 24, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Charles Mboje (Guest) on January 20, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on January 8, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More