Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Featured Image

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanakhamis (Guest) on June 12, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on June 4, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwakisu (Guest) on May 18, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Martin Otieno (Guest) on May 4, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 30, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on March 25, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nora Lowassa (Guest) on December 17, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

David Nyerere (Guest) on November 26, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on November 16, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on September 11, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 27, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on August 20, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Khatib (Guest) on July 21, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sharifa (Guest) on July 6, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on June 29, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on June 21, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Mwafirika (Guest) on June 20, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alex Nakitare (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on June 14, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 24, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on April 13, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mahiga (Guest) on March 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on February 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on February 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on February 6, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on January 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on January 7, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on December 31, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on November 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Makame (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Amukowa (Guest) on September 25, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 20, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Mwambui (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

James Malima (Guest) on September 1, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on September 1, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on August 21, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 18, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 17, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Masika (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Mussa (Guest) on July 30, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on July 20, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on July 12, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Zainab (Guest) on July 12, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 2, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 21, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

David Chacha (Guest) on April 12, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on February 24, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Grace Mligo (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on January 14, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Francis Njeru (Guest) on December 29, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kimani (Guest) on December 13, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Chum (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Shabani (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on December 8, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More