Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 25, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Guest (Guest) on June 10, 2026

Ahahahaha!!

James Malima (Guest) on May 28, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on May 28, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Carol Nyakio (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on April 4, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on February 29, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Bahati (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Athumani (Guest) on December 21, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 13, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Warda (Guest) on December 1, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Adhiambo (Guest) on November 26, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zulekha (Guest) on October 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on September 30, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on September 20, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 13, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 5, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on August 29, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rubea (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Maimuna (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nora Kidata (Guest) on July 19, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on July 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rubea (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on May 21, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on May 12, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kimani (Guest) on May 10, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Nyalandu (Guest) on May 6, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Wafula (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on April 25, 2023

🀣πŸ”₯😊

Joy Wacera (Guest) on April 19, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mahiga (Guest) on April 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on April 6, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Carol Nyakio (Guest) on March 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rahma (Guest) on March 13, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nora Lowassa (Guest) on March 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 25, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on February 4, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on January 30, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kahina (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Edward Chepkoech (Guest) on December 25, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Maulid (Guest) on October 24, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 22, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Leila (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Miriam Mchome (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on September 5, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Stephen Kikwete (Guest) on August 25, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Jebet (Guest) on July 29, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on July 18, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 2, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Malima (Guest) on June 30, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More