Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nassar (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 15, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sekela (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Jackson Makori (Guest) on March 4, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on February 15, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on February 7, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Victor Mwalimu (Guest) on January 25, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Chris Okello (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Mallya (Guest) on November 28, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on November 3, 2023

😊🀣πŸ”₯

Michael Mboya (Guest) on October 6, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on September 21, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on August 15, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 15, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on July 10, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Martin Otieno (Guest) on June 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Kamau (Guest) on March 23, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Michael Mboya (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on February 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on February 4, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mboje (Guest) on January 25, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on October 31, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on October 14, 2022

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on August 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on July 19, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sumaya (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Fatuma (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Selemani (Guest) on May 29, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Nyerere (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on May 6, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on April 2, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on March 12, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 9, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on February 27, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on January 29, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More