Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Elizabeth Mtei (Guest) on May 22, 2024

🀣πŸ”₯😊

Charles Mrope (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on April 19, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on April 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Salima (Guest) on March 31, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on March 1, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on February 20, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on January 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on January 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on December 20, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on December 4, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nahida (Guest) on November 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kenneth Murithi (Guest) on October 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Farida (Guest) on October 28, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mrope (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Majid (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Awino (Guest) on September 21, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rose Kiwanga (Guest) on September 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 2, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on August 28, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on July 12, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 14, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on June 8, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 21, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on May 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 18, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Kimario (Guest) on March 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Mahiga (Guest) on March 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on February 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Masika (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Achieng (Guest) on January 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on January 6, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Mushi (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on December 24, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on November 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on November 13, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daniel Obura (Guest) on October 20, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on October 18, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Maneno (Guest) on September 18, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Mallya (Guest) on September 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on August 30, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Moses Mwita (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Kawawa (Guest) on July 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 13, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 6, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More