Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Elizabeth Mtei (Guest) on May 22, 2024

🀣πŸ”₯😊

Charles Mrope (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on April 19, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on April 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Salima (Guest) on March 31, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on March 1, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on February 20, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on January 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on January 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on December 20, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on December 4, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nahida (Guest) on November 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kenneth Murithi (Guest) on October 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Farida (Guest) on October 28, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mrope (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Majid (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Awino (Guest) on September 21, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rose Kiwanga (Guest) on September 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 2, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on January 6, 2026

Kaja

Sarafina (Guest) on August 28, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on July 12, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 14, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on June 8, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 21, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on May 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 18, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Kimario (Guest) on March 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Mahiga (Guest) on March 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on February 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Masika (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Achieng (Guest) on January 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on January 6, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Mushi (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on December 24, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on November 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on November 13, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daniel Obura (Guest) on October 20, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on October 18, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Maneno (Guest) on September 18, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Mallya (Guest) on September 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on August 30, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Moses Mwita (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Kawawa (Guest) on July 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 13, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More