Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Featured Image
John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya
Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na
nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka?

akajibu ndio nyumba yangu ilee, mara wakatoka
watoto wawili wamevaa uniform akasema watoto
wangu walee wanakwenda shule..
Akatoka mwanamke akasema na mke wangu yulee,
Ghafla akatoka mwanaume john akasema mimi
yuleeeeeeee…. naenda kazini!! JE, NI KWELI
AMEPONA??
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanaidha (Guest) on July 21, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Chacha (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on June 10, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 8, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Mushi (Guest) on May 21, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on April 22, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Dorothy Nkya (Guest) on April 21, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Dorothy Nkya (Guest) on April 16, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

James Malima (Guest) on April 11, 2024

😊🀣πŸ”₯

Lucy Wangui (Guest) on March 30, 2024

🀣πŸ”₯😊

Farida (Guest) on March 24, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on March 9, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on February 14, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on January 30, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Were (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Saidi (Guest) on December 24, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

James Mduma (Guest) on December 21, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on November 8, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on September 17, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ann Wambui (Guest) on September 15, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Margaret Anyango (Guest) on July 20, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 18, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Selemani (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on May 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 3, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 11, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Shamim (Guest) on March 17, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Khatib (Guest) on March 15, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on February 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on February 14, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on February 10, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on February 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mary Mrope (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Agnes Sumaye (Guest) on December 21, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Okello (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mary Njeri (Guest) on November 18, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 9, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mchuma (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 13, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mwakisu (Guest) on September 5, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Robert Ndunguru (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Hamida (Guest) on July 31, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Njeru (Guest) on July 19, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on July 2, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on April 29, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

James Malima (Guest) on April 22, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on April 19, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mahiga (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Frank Sokoine (Guest) on April 14, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 13, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More