Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Mafundisho kuhusu Neema

Featured Image
Neema ni nini? Neema ni kipaji cha roho kinachopita nguvu za viumbe vyote; ndicho kipaji tupewacho na Roho Mtakatifu ili tupate uzima wa milele. (Lk 1:30, Rum 5:2)
50 Comments

Amri ya nne ya Mungu: Kuheshimu Wazazi

Featured Image
Katika Amri ya nne ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wetu wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12, Kol 3:20) Amri ya Nne ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12), Kol 3:20
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Sala

Featured Image
Sala ni kuinua mioyo yetu kwa Mungu na kuongea nae. Kuongea maana yake ni kusema na Kusikiliza. Sala sio kuongea tuu, sala ni kuongea na kusikiliza. Mungu anatualika tuongee nae kwa kusema na kusikiliza.
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu tofauti za kijamii na uadilifu wa kijamii?

Featured Image
Nyakati hizi za kisasa, Kanisa Katoliki bado linasimama imara katika kuunga mkono tofauti za kijamii na uadilifu wa kijamii. Kwani tunaamini kuwa kila mtu ni sawa mbele za Mungu na inatupasa kuishi kwa upendo na amani kwa wote. Sote ni ndugu na dada, na tunapaswa kuhakikisha kuwa tunatendeana kwa haki na usawa. Hivyo basi, tuendeleze imani yetu na daima tujitahidi kujenga jumuiya yenye upendo na uhuru kwa wote.
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Mitume

Featured Image
Mapokeo ya Mitume ndiyo nini? Mapokeo ya Mitume ndiyo yale yote ambayo Yesu aliwakabidhi Mitume wake, na kwa uwezo wa Roho Mtakatifu yatadumu hata mwisho wa dunia katika mafundisho, liturujia na maisha ya Kanisa.
50 Comments

Amri za Kanisa: Mambo ya Muhimu kujua na Kuzingatia

Featured Image
Amri za kanisa ni; 1. Hudhuria Misa Takatifu Dominika na sikukuu zilizoamriwa. 2. Funga siku ya Jumatano ya Majivu; usile nyama siku ya Ijumaa Kuu 3.Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka. 4. Pokea Ekaristi Takatifu hasa wakati wa Pasaka 5. Saidia Kanisa Katoliki kwa zaka 6. Shika sheria Katoliki za ndoa.
50 Comments

Maswali na Majibu kuhusu Kuabudu kwa Wakatoliki

Featured Image
Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna gani? Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na matendo mema
50 Comments

Mafundisho kuhusu Binadamu, Mtu na Utu

Featured Image
Tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu maana yake tuna roho zenye akili na utashi yaani uwezo wa kutofautisha mema namabaya, na zitakazoishi milele.
51 Comments

Mambo ya muhimu kujua kuhusu Sakramenti ya Kipaimara

Featured Image
Sakramenti ya Kipaimara ni nini? Ni Sakramenti yenye kumpa Mkristu Roho Mtakatifu na ukamilifu wa mapaji yake saba, kumfanya mkristu mkamilifu na kumwandika Askari hodari wa Yesu Kristo Mpaka Kufa
51 Comments

Mafundisho ya Msingi kuhusu Roho Mtakatifu

Featured Image
Roho Mtakatifu ni upendo wa Mungu, nafsi ya tatu ya Utatu Mtakatifu, mwenye Umungu mmoja na Baba na Mwana.
100 Comments