Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
☰
AckyShine

Mambo yanayowazuia Waumini na Watumishi wa Mungu Kufikia Ukamilifu na Utakatifu

Featured Image
Leo nimekuandalia Tafakari kuhusu Mambo yanayowazuia Waumini na watumishi wa Mungu Kuishi Kitakatifu na kufikia Ukamilifu. Mambo haya yanaweza yakaonekana sio dhambi au makosa kwa mtu lakini ni vikwazo kwa mtu kufikia Ukamilifu hasa anaposhindwa kuyajua na kuyaepuka. Wengi wanajiona kwamba wako salama lakini kumbe wako katika dhambi.
100 Comments

Nguvu na Umuhimu wa Upendo

Featured Image
Katika fadhila zote, upendo ndio unaonyesha uwepo wa fadhila nyingine Upendo ni Amri kubwa kuliko zote Upendo ni Utimilifu wa Sheria Upendo ni Utakatifu
100 Comments

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Featured Image
Ibada ya Huruma ya Mungu ni njia yenye nguvu ya ukarabati na uongofu!
50 Comments

Yafahamu Mawazo na Mipango ya Mungu Kwako

Featured Image
Mungu daima anawaza Mema na Anampangia Mtu Mambo mema. Kama mtu ataenda katika njia ambayo Ipo katika mipango na mapenzi ya Mungu basi atapokea yale mema Mungu aliyopanga Kwake. Lakini kama mtu ataishi kwa kufuata mapenzi yake mwenyewe basi atapoteza yale mema Aliyopangiwa.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Ukarimu Usiokuwa na Kikomo

Featured Image
Huruma ya Mungu ni zawadi yenye thamani kubwa sana. Haijalishi tunapitia nini maishani mwetu, Mungu daima yuko upande wetu. Kwa hiyo, tunapaswa kuwa wakarimu na kushiriki upendo wake kwa wengine. Kwa sababu katika Huruma ya Mungu, hakuna ukomo!
50 Comments

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Featured Image
Ibada ya Huruma ya Mungu ni chakula cha roho chenye nguvu ya kubadilisha maisha yetu. Ni njia ya ukarabati na uongofu ambayo hutufanya kuwa na furaha na amani ya kweli. Acha tujikite katika ibada hii ya ajabu na tuone jinsi inavyobadilisha maisha yetu!
50 Comments

Siri ya Kuwa na Amani ya Moyoni au Rohoni

Featured Image
Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukiwa na Matumaini ya kua kile unachokifanya kitafanikiwa, ni sahihi na umekifanya vizuri.
100 Comments

Mambo ya kutafakari unapokuwa katika shida kubwa, unapoelekea kukata tamaa

Featured Image
Leo tunatafakari kuhusu wakati wa shida. Maisha ya mtu yanabadilika wakati wowote kwa namna yoyote yanaweza yakawa mazuri mpaka ukashangaa au yanaweza yasiwe mazuri kama unavyotarajia. Yote hayo ni sehemu ya maisha.
100 Comments

Maana ya kuushinda ulimwengu

Featured Image
Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Featured Image
Huruma ya Mungu ni upendo usiokoma, unaoweza kutuokoa na kutusamehe hata pale tunapokosea.
50 Comments