Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Featured Image
Ibada ya Huruma ya Mungu ni chakula cha roho chenye nguvu ya kubadilisha maisha yetu. Ni njia ya ukarabati na uongofu ambayo hutufanya kuwa na furaha na amani ya kweli. Acha tujikite katika ibada hii ya ajabu na tuone jinsi inavyobadilisha maisha yetu!
50 Comments

Safari ya kupata fadhila ya Unyenyekevu

Featured Image
Fadhila ya Unyenyekevu ni matunda ya Upendo na Uvumilivu kwa hiyo ili kufikia Unyenyekevu yakupasa kuwa na Upendo wa kweli kwa Mungu na Wanadamu huku ukiwa mvumilivu, Mwisho wa yote hayo utapata fadhila ya Unyenyekevu
100 Comments

Ibada ya Jumapili ya Huruma ya Mungu: Kupata Upendo Usiokuwa na Kifani

Featured Image
Ijumaa imepita, Jumamosi imepita na sasa tunafurahia Jumapili ya Huruma ya Mungu! Leo, tutajitolea kabisa kwa ibada na kujipa fursa ya kupata upendo usio na kifani kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Twendeni kwa furaha na shukrani mioyoni mwetu kwa kumpata Mungu katika maisha yetu.
50 Comments

Mambo ya Msingi Sana Kuhusu Kusali na Kuomba

Featured Image
Rafiki yangu, Omba utafute uso wa Mungu, Aonaye kwa Siri atakujibu kwa wazi. Mungu ni Mwaminifu Sana hasa kwa wamwombao bila kukoma na kwa matumaini. Mungu yeye anasikia Sala zetu zote na kuzijibu zote.
100 Comments

Wakati unapitia magumu usikate tamaa

Featured Image

Kuna Kipindi katika maisha yako unaweza ukapitia mambo Fulani magumu hadi ukaanza kujiuliza,hivi kwa nini yote haya yananitokea?Why Me God?.Na Mimi nimeshawahi kupitia katika hali hii.

Nilichojifunza ni kuwa hakuna changamoto ya kudumu milele na katika kila kinachoonekana Leo kuwa hakina majibu,ukiamini kuwa inawezekana basi utapata majibu yake.

50 Comments

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Featured Image
Huruma ya Mungu ni upendo usiokoma, unaoweza kutuokoa na kutusamehe hata pale tunapokosea.
50 Comments

Siri ya Yesu: Mwangaza Wa Maisha

Featured Image
Soma Siri ya Yesu aliye Mwangaza Wa Maisha, Jifunze namna unavyoweza kufaidi Mwangaza huu kushinda Uovu katika maisha Yako.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Faraja katika Majaribu na Huzuni

Featured Image
Huruma ya Mungu ni faraja tunayopata wakati wa majaribu na huzuni. Ni kama jua linalochomoza baada ya usiku mrefu. #Furaha #Mungu #Huruma #Faraja #Majaribu #Huzuni
50 Comments

Kwa nini Mungu hatendi mpaka umwambie au umuombe? Kwa nini tusali?

Featured Image
Mungu anapenda kutenda jambo baada ya mtu kumuomba/kusali ili mtu aelewe Ukuu wa Mungu na ili Mungu atukuzwe. Kama kila kitu mtu anachotaka kingekua kinafanyika, Binadamu asingemkumbuka Mungu na Mungu asingetukuzwa
100 Comments

Mungu Anakuita Na Kukupa Nafasi Ya Kutubu Na Kumrudia Yeye Ili Akusamehe na Kukubariki

Featured Image
Unaalikwa kutubu na kumrudia Mungu kwa Moyo Wako wote na kwa nia dhabiti. Mungu atakusamehe dhambi zako na kukufanya kuwa mpya. ...Ingekuwa heri leo usikie sauti yake! Usifanye moyo wako kuwa mgumu.
100 Comments