Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Featured Image
Ibada ya Huruma ya Mungu ni chanzo cha upendo na ukarimu ambacho kinaweza kubadilisha maisha yako! Jifunze jinsi ya kuishi kwa moyo wa kujali na kuwa baraka kwa wengine.
50 Comments

Huruma ya Mungu: Faraja katika Majaribu na Huzuni

Featured Image
Huruma ya Mungu ni faraja tunayopata wakati wa majaribu na huzuni. Ni kama jua linalochomoza baada ya usiku mrefu. #Furaha #Mungu #Huruma #Faraja #Majaribu #Huzuni
50 Comments

Unafahamu kuwa Imani ni Cheti cha Kuweza Kupata Yote?

Featured Image
Imani ni njia ya kuweza kupata yote. Unachohitaji ni Imani. Naam kuwa na uhakika na unachokitarajia.
100 Comments

Maana ya kuushinda ulimwengu

Featured Image
Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi.
100 Comments

Siri ya Kuwa na Amani ya Moyoni au Rohoni

Featured Image
Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukiwa na Matumaini ya kua kile unachokifanya kitafanikiwa, ni sahihi na umekifanya vizuri.
100 Comments

Mungu ni mwenye upendo, Huruma na Rehema hasa kwa Wenye dhambi

Featured Image
Mungu ni mwenye upendo Huruma na Rehema hasa kwa Wenye dhambi. Mungu yupo tayari kumsikiliza mtu yeyote mwenye dhambi kama ameutambua, amekiri na Kutubu makosa yake. Mungu akishamsamehe mtu uovu wake anambariki.
100 Comments

Tafakari Kuhusu Matumizi Ya Mali

Featured Image
Usiwe Bahili wa kutumia Mali ulizojaliwa na Mungu. Mungu amekupa Mali hizo ili ufurahie maisha uliyonayo ambayo siku moja yana mwisho.
100 Comments

Huruma ya Mungu: Upendo Usiokuwa na Kifani

Featured Image
Huruma ya Mungu ni upendo usiokuwa na kifani, ambao unatufanya tujisikie vizuri kila wakati. Ni kama jua lenye joto, ambalo hulainisha mioyo yetu na kutoa nguvu kwa roho zetu. Hakuna kitu kizuri kama kujua kuwa upendo wa Mungu hauishi kamwe, na tuko salama chini ya mabawa yake ya upendo.
50 Comments

Tofauti Wakati Wa Kukomunika Wakati Wa Kupokea Mwili Na Damu ya Yesu Kristo

Featured Image
Wakati wa Kukomunika kila mtu anampokea Yesu kwa namna alivyojiweka tayari. Vile ulivyojiandaa ndivyo na Yesu anakuja kwako.
101 Comments

Karibu Ujitafakari: Kwa nini Unasali na Kumuabudu Mungu? Jifunze Kitu Hapa

Featured Image
Embu tafakari kwa nini unasali na Kumuabudu Mungu! Je unasali kwa hofu ya kutokua na uhakika na maisha? Je unasali kwa sababu ya shida na matatizo katika maisha? Je unasali kwa kuwa unaona wengine wanasali kwa hiyo unafikiri na wewe lazima usali? Soma hii, Ujitafakari
100 Comments