Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Featured Image
Je! Kanisa Katoliki Linapinga Utoaji Mimba na Kuhimiza Kulinda Uhai wa Watoto Wachanga? Ndiyo!
50 Comments

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Featured Image
Ikiwa unatafuta njia ya kustarehe na kukaribia Mungu, Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu ndio jibu lako! Sala hii ya upatanisho na ukombozi ina nguvu ya kusafisha roho yako na kukuletea amani ya kweli. Jiunge nasi katika Sala hii yenye utajiri na hakika utahisi uwepo wa Mungu kando yako!
50 Comments

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

Featured Image

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​

Matayo 7:12;
"Basi yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii."

50 Comments

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Featured Image
50 Comments

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Featured Image

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi.

50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ekaristi Takatifu kuwa Mwili na Damu ya Yesu Kristo?

Featured Image
The Catholic Church: Spreading the Joyful Message of the Holy Eucharist!
50 Comments

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

Featured Image

KALENDA za mwanzo ziliutumia mwezi wa
angani kama kipimo cha muda. Ziliitwa “Lunar
calender” au Kalenda-Mwezi. Tarehe 1 ya
Mwezi ilikuwa ni siku ulipoandama yaani
Mwezi-Mdogo (Crescent Moon).
Mwezi unapofika siku ya 15 unakuwa umefikia
ukubwa wa juu na huitwa Mwezi-Mkubwa (Full
Moon). Hivyo kwa kalenda ile tarehe 15
ilikuwa ni siku ya Mwezi-Mkubwa.

50 Comments

Kwa nini Bikira Maria hakuwa anaombwa akiwa hai? Watu na mitume hawakuwa wanasali kumuomba yeye

Featured Image
50 Comments

Ahadi kumi na mbili za Moyo Mtakatfu wa Yesu

Featured Image
50 Comments

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

Featured Image

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya #Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

50 Comments