Updated at: 2024-05-25 15:25:57 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukweli lazima nikwambiye kwa kuwa sina kimbilio nakupenda kijana mwenzio sijui kwanini hutaki kukisikia changu kilio, namwomba Mungu kila kukicha usikiye changu kilio, nakupenda na kama kukueleza hili nakukosea nisamehe kwani si langu kusudio,luv u mwaah.
SMS ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako wa kike kumsifia na kumwambia unavyompenda
Updated at: 2024-05-25 15:26:23 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu kufungwa kwenye gereza la moyo la mcchana huyo milele kwa kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja ,asiye na mashauz,mwenye wing upendo ,maneno matamu ,mahaba ya dhat na mapenz mazito zito,
Updated at: 2024-05-25 15:22:11 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.