Updated at: 2024-05-25 15:26:24 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi akupe maisha marefu na kukuepusha na maradhi, pongezi kwa wako wazazi kwa kukuzaa mpenzi, nakupenda la azizi.
Ujumbe mzuri wa kimapenzi wa kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda kweli
Updated at: 2024-05-25 15:25:14 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
"Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe" nakupenda laazizi "Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati mawazo yangu yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla yako je wewe ungekuwepo nayo ungempa nani kwanza? "
Updated at: 2024-05-25 15:36:33 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee salamu "UHALI GANI MPENZI?"
Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa hutampenda mwingine zaidi yake
Updated at: 2024-05-25 15:23:13 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu "SINTOMPENDA MWINGINE ZAIDI YAKO"
Ujumbe wa kimahaba kumwambia mpenzi wako umelimisi penzi lake
Updated at: 2024-05-25 15:24:03 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiac hk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl na unitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin. Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwa ukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz. Nakupenda kipenz cha moyo wangu.