Updated at: 2024-05-25 15:27:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA. Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda…!! Jee…!! wewe, utamuonesha nini umpendaye ili aone ni kiac gani …………………….
Updated at: 2024-05-25 15:36:10 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA
SMS nzuri ya kumtumia umpendaye kumwambia unavyompenda na kumridhia
Updated at: 2024-05-25 15:24:10 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyoni mwangu nimeridhia… .nakupenda daima mpenzi!
Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa ulimpenda tangu siku ya kwanza na utazidi kumpenda
Updated at: 2024-05-25 15:22:17 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
nilivyokutana nawe siku ya kwanza nilikupenda kwa dhati,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,siwezi kuchezea nafasi hiyo laaziz,nitakushika daima.
Updated at: 2024-05-25 15:25:08 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.