Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?
Updated at: 2024-05-25 17:04:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Eti kati yaΒ MAMBA Β naΒ KIBOKO Β nani kiboko???ππππ Mi naonaΒ MAMBA Β ndoΒ kiboko !π³ Ujinga mbele kwa mbeleπππππππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Read more
Close
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri
Updated at: 2024-05-25 16:55:56 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Haya ndiyo majibu mazuriππππππππππ
Q: Umenyoa nywele? A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*
Q: Hiyo simu umenunua? A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*
Q: Utakula mboga na nini? A: *Mdomo*
(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha? A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*
Q: Gazeti la leo linasemaje? A: *Sijaongea nalo.*
Q: Gari limejaa, nitakaa wapi? A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*
Q: Hiyo ni ajali? A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .
Q: Umepause movie? A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.* ππππππ
πββπββπββπββπββπββ
Read more
Close
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa
Updated at: 2024-05-25 18:09:53 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulizeβ¦ Kaka, mbona u mnyonge hivyo?" Jamaa : 'aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!! ππππππ
Read more
Close
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta
Updated at: 2024-05-25 17:13:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yakeβ¦.
Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.
Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwakeβ¦.
Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudiβ¦
MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi
JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka
MJOMBA; ndo uje uchi?
JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi
ππππππππππππ
Read more
Close
Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama
Updated at: 2024-05-25 17:56:17 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
USIJIONE MJUAJI SAAAAβ¦NA. Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika nyumbani.
kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao. Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi, akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani" mama"hee embu tuoneshe mwanangu" jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?" wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili" akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu mezani" baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"
Read more
Close
Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?
Dogo: Bro naomba nitumie hela.
Bro: Tumia tu mpaka uchoke.
Dogo: Hujanielewa,nitumie hela.
Updated at: 2023-04-29 22:52:19 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Dogo: Bro naomba nitumie hela.
Bro: Tumia tu mpaka uchoke.
Dogo: Hujanielewa,nitumie hela.
Bro: We ndo hunielewi, nimesema tumia tuβ¦!!!
Read more
Close
Mchaga aliyemshangaza Mungu
Updated at: 2024-05-25 17:14:22 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Munguβ¦ Dakika mbili nyingi Mchaga akakimbia na kapu la sadaka Β πππππππππ
Read more
Close
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu π§ girlfriend wake
Updated at: 2024-05-25 17:00:07 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta jamaa anaosha vyombo kwa MAMA NTILIE. Girlfriend akamuuliza jamaa βbeby vipi mbona uko hapa?β Jamaa bila woga akajibu βNIPO FIELD. Wanaume hatupendi ujinga sisi π π π
Read more
Close
Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki π¦
Updated at: 2024-05-25 16:59:23 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
At the bank.. Teller: Hii pesa ni fake Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..account pia ni yangu..weka tu!!!πππ ππππ
Read more
Close
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka
Updated at: 2024-05-25 16:57:00 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuniβ¦unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuniβ¦ππππ
Read more
Close