Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??
Updated at: 2023-04-29 22:52:33 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI⦠Asilimia 98% Ya Mamen Wapo SINGLE⦠HAPA NDIPO HESABU ZANGU ZINAFELI.. Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!?.
Read more
Close
Chezea kufulia!
Updated at: 2024-05-25 17:10:34 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisema πππ
Read more
Close
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti
Updated at: 2024-05-25 16:58:11 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
BABA MWEUSI MAMA MWEUSI
na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua mweupe
β¦..HAPO NDO WAZAZI WANAJIULIZA hv mbegu ilkua ya kinyonga auππππ
Read more
Close
Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya
Updated at: 2024-05-25 17:08:44 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et "NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME" Saizi nipo apa kwa fundi nguo, napimwa kitambaa Harusi sijui lini anapenda kushtukiza huyu
Read more
Close
Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya
Updated at: 2024-05-25 17:05:33 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofika akasema, "naomba leseni yako." Mama akasachi mkoba Wake akatoa kioo kidogo cha kujtazama akampatia! Trafik akakiangalia kwa dakika 2 Akasema sasa si ungesema kama wewe ni trafik mwenzangu! Haya nenda Ulevi sio mzuri ππππ
Read more
Close
Ni wazo tuu!
Updated at: 2024-05-25 17:52:00 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia watoto wao waliozaa na mkeo.duh!! tutafika kwel
πππππππ
Read more
Close
Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?
Mama: Hapana mwanangu sijakuona.
Updated at: 2024-05-25 18:08:16 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?
Mama: Hapana mwanangu sijakuona.
Mtoto: Kwahiyo ulivyonizaa ulijuaje kwamba ni mimiβ¦!??
Read more
Close
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka
Updated at: 2024-05-25 16:57:00 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuniβ¦unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuniβ¦ππππ
Read more
Close
Cheka na methali
Updated at: 2024-05-25 17:49:22 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro 2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu 3.Zimwi likujualo= Lilikuona Sehemu. 4.Chelewa Chelewa= Ukizikusanya utapata Ufagio. 5.Hakuna Masika= Wakati wa Kiangazi. 6.Mpanda Ngazi= Asiwe Mwoga kuanguka 7.Dua la kuku= Bismilah rahman rahim 11.Penye wengi= Pana Ajali au Tukio 12.Ukiona vyaelea= Ujue ni vyepesi. 13.Mwenye nguvu= amekula ugal wa dona(β¦..)
Read more
Close
Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere
Updated at: 2024-05-25 17:07:22 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesaβ¦ Trust me Kuna wanawake wangekuwa wanaishi misituni mda huuβ¦.. Wanavyopenda hela ππππππππ
Read more
Close