Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Featured Image

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"

238 Comments

Nilichokifanya leo

Featured Image
236 Comments

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?

237 Comments

Cheki tulichokifanya jana

Featured Image
236 Comments

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Featured Image
238 Comments

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Featured Image
236 Comments

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
237 Comments

Mambo ya kijijini haya!

Featured Image
236 Comments

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image
236 Comments

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Featured Image
236 Comments