Hakuna uwezo Bila fursa
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya.
Read more
Close
Urithi wa mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kila mtu ni mrithi wake yeye mwenyewe. Mafanikio yako ya baadae ni urithi wako ulioutengeneza hapo awali. Utajiri wako wa sasa unatokana na uliyoyawekeza miaka ya nyuma na utajiri wako ujao ni yale unayoyawekeza sasa.
Read more
Close
Maendeleo kwa mfano wa Kobe
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kupata maendeleo kwa kusitasita na kuogopaogopa. Hata kobe anayesonga mbele ni yule anayetoa kichwa chake kwenye gamba/nyumba yake.
Read more
Close
Changamoto na ugumu
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Changamoto na ugumu wa jambo upo kwa wale wanaolifanya. Huwezi kukaa na kutazama jambo bila kulifanya na kisha kujua changamoto zake.
Read more
Close
Uzuri na ubora
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uzuri wa kitu huvutia MACHO lakini ubora wa kitu huuteka MOYO daima. Uzuri haudumu.
Read more
Close
Uwezo wa Kutumia ulichonacho
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiweza kutumia vizuri kipaji au uwezo mdogo ulionao itakufanya uwe bora na mwenye sifa nzuri kuliko yule mwenye uwezo mkubwa.
Read more
Close
Biashara ya maisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:48 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Biashara ya maisha ni kusonga mbele tuu. Maisha hayarudi nyuma wala hayafai kurudisha nyuma. Maisha yanasonga mbele.
Read more
Close
Kinga ya magonjwa na madhara yote
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Katika maisha, kinga kuu ya magonjwa na majanga yote ni kujikatalia au kujinyima.
Read more
Close
Tuwe wenye Hodari na wenye uwezo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujenge uhodari na uwezo utakaotusaidia kutumia fursa zilizo wazi mbele yetu.
Read more
Close
Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu
Updated at: 2024-05-23 16:12:44 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.
Read more
Close