Matendo ya mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Matendo ya mtu ni tafsiri kuu ya mawazo yake.
Read more
Close
Nguvu ya kuwa makini
Updated at: 2024-05-23 16:12:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uwezo wa kuwa makini katika jambo bila kuyumbishwa na kitu chochote ni ishara kuu ya mtu mwenye akili na mwenye mafanikio.
Read more
Close
Thamani ya faida
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagharamiwa.
Read more
Close
Maendeleo kwa mfano wa Kobe
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kupata maendeleo kwa kusitasita na kuogopaogopa. Hata kobe anayesonga mbele ni yule anayetoa kichwa chake kwenye gamba/nyumba yake.
Read more
Close
Uwezo wa Kutumia ulichonacho
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiweza kutumia vizuri kipaji au uwezo mdogo ulionao itakufanya uwe bora na mwenye sifa nzuri kuliko yule mwenye uwezo mkubwa.
Read more
Close
Mwanzo mzuri wa kitu
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kitu chochote kinapofanywa vizuri mwanzoni ni sawa na kimefanywa nusu tayari.
Read more
Close
Vitu haviwezi kujisogeza
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kwenye dunia hii vitu haviwezi kusimama kama havijasimamishwa.
Read more
Close
Changamoto na ugumu
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Changamoto na ugumu wa jambo upo kwa wale wanaolifanya. Huwezi kukaa na kutazama jambo bila kulifanya na kisha kujua changamoto zake.
Read more
Close
Hakuna uwezo Bila fursa
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya.
Read more
Close
Kufanya Biashara vizuri
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukitaka kufanya biashara kwa ufanisi; wakati wa kununua nunua ukiwa na mtazamo wa muuzaji kwa kufikiri kama wewe ungekua ndio unauza ungeuzaje, na Wakati wa kuuza uza ukiwa na mtazamo wa mnunuzi kwa kufikiri kama ungekua wewe ndiye mnunuzi ungenunuaje.
Read more
Close