Mafundisho ya amani
Updated at: 2024-05-27 07:12:08 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Ukitaka kupata amani, tumaini katika Ahadi za Mungu. Ahadi ya Mungu ni hii "Hatoacha kutusaidia wala kututupa".
Upendo wa siku zote
Updated at: 2024-05-27 07:12:07 (2 years ago by DIN - Melkisedeck Leon Shine)
Upendo wa siku zote huo ndio upendo atakao Mungu. Chuki na unafiki ni tabia ya Shetani, umoja ni tabia ya Mungu.