Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Featured Image

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku

JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:"Naitwa BEBI,we unaitwa nani?"
Jamaa akasema mimi naitwa Fara…..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Isaac Kiptoo (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on July 7, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on June 21, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Alex Nakitare (Guest) on June 17, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on June 4, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samuel Were (Guest) on May 30, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on May 25, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarah Karani (Guest) on May 15, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on May 1, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on May 1, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Abdullah (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on April 13, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Philip Nyaga (Guest) on April 11, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 5, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on April 3, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Mrope (Guest) on February 25, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Charles Mboje (Guest) on February 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elizabeth Mtei (Guest) on February 9, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Zainab (Guest) on January 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jackson Makori (Guest) on January 23, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Patrick Akech (Guest) on November 25, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on November 11, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Benjamin Masanja (Guest) on November 7, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on October 11, 2023

😊🀣πŸ”₯

Elizabeth Mrope (Guest) on September 10, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bakari (Guest) on August 18, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sarah Mbise (Guest) on August 12, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on August 10, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ann Awino (Guest) on July 25, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on July 3, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 29, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on June 22, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 24, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Charles Mrope (Guest) on March 5, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on December 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 2, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on October 26, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Nkya (Guest) on October 25, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Betty Kimaro (Guest) on September 21, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Asha (Guest) on September 14, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Anyango (Guest) on August 17, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Mallya (Guest) on August 4, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mashaka (Guest) on July 22, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on July 17, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on June 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Musyoka (Guest) on May 31, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kawawa (Guest) on May 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on May 9, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on April 22, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on April 13, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mchome (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Umi (Guest) on April 7, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nassor (Guest) on March 28, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on March 13, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More