Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ujumbe kwa mabinti kuhusu uvaaji

Featured Image

Familia Kwanza: Wasichana wawili waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikionyesha miili yao.

Hiki ndo kitu ambacho Mwenyekiti wa kikao alichowaambia, aliwatazama kwa muonekano mzuri kisha akawataka wakae, kisha akawaambia jambo ambalo hawatoweza kusahau katika Maisha yao.

Aliwaangalia moja kwa moja katika macho yao, kisha akasema;

"Wasichana, kila kitu ambacho MUNGU amekiumba chenye thamani katika Dunia hii kimesitiriwa, na ni vigumu kukiona au kukipata.

1.Wapi unapoipata Almasi?
Ni chini kabisa ndani zaidi katika ardhi, na yamefunikwa na kuhifadhiwa humo

2. Wapi mnapoweza kuipata Lulu? Pia ni ndani zaidi kwenye kina kirefu zaidi katika Bahari, na yamehifadhiwa humo na kujificha ndani ya Sanamu zuri la Baharini

3. Wapi mnapoweza kuipata Dhahabu? napo pia ni ndani zaidi katika Migodi, na yamefunikwa juu na Ardhi za Miamba na ndio uyapate hapo. Yatupasa tufanye kazi ya ziada zaidi na tulime kwa undani zaidi ndipo tuyapate.

Kisha Mwenyekiti akawaangalia wale Mabinti kwa Jicho kali zaidi na kisha akawaambia;
"Miili yenu ni ya kuogopwa na ina thamani sana, na inazidi sana hata thamani ya Dhahabu, Almasi au Lulu. Na yawapasa muihifadhi zaidii.

Kama mtatunza Madini yenu kama ilivyotunzwa Almasi, Dhahabu na Lulu basi Makampuni yenye sifa nzur katika Jamii, Makampuni ya uhakika, Makampuni ya kuaminika yenye Mitambo mizuri yatatenga Muda wa miaka kadhaa katika kufanikisha kuyapata Madini hayo.

Kwanza itawapasa wawasiliane na Serikali (ambayo ndio familia yako) pia kusahihisha Mikatabata muhimu (ndoa) na mwisho ni Mgodi wenye dhana kubwa (ambayo ndiyo ndoa) lakini kama ukiacha madini yako yenye thamani nje hayajahifadhiwa katika uso wa Dunia basi utamvutia kila Mmoja (Mwanaume) na hasa wale ambao ni Wachimbaji haramu watakuja na kuchimba kiharamu (Zinaa), kwa hiyo kila mmoja atachukua kwa vifaa vilivyo na Makali na hivyo ndio watakavyokulima kirahisi.

Hivyo basi nawashauri hifadhini Miili yenu vizuri ili iwavutie wachimbaji wa halali (Waoaji) ndio wakukaribie upate kuheshimika

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kufurahisha Katika Njia Mpya: Kujaribu Mazoea Mapya ya Kufanya Mapenzi

Kufurahisha Katika Njia Mpya: Kujaribu Mazoea Mapya ya Kufanya Mapenzi

Kufurahisha Katika Njia Mpya: Kujaribu Mazoea Mapya ya Kufanya Mapenzi

  1. Mapenzi ni se... Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Migogoro ya Familia kwa Ufanisi: Mbinu na Mikakati

Jinsi ya Kukabiliana na Migogoro ya Familia kwa Ufanisi: Mbinu na Mikakati

Karibu kwenye makala hii ya jinsi ya kukabiliana na migogoro ya familia kwa ufanisi. Migogoro ya ... Read More

Jinsi ya Kusimamia mzigo wa kazi na majukumu ya familia katika uhusiano

Jinsi ya Kusimamia mzigo wa kazi na majukumu ya familia katika uhusiano

Kusimamia mzigo wa kazi na majukumu ya familia katika uhusiano ni changamoto inayoweza kutokea kwa w... Read More
Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Ushirikiano wenye Msingi katika Familia

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Ushirikiano wenye Msingi katika Familia

Kuweka kipaumbele cha kujenga ushirikiano wenye msingi katika familia ni jambo la muhimu sana kat... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia

Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu maadili na maadili ya familia ni muhimu kwa kujenga msingi imara k... Read More
Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Upendo ni ... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kiuchumi na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kiuchumi na mpenzi wako

Kukabiliana na changamoto za kiuchumi ni sehemu muhimu ya uhusiano wenye afya. Hapa kuna njia kadhaa... Read More
Kutumia Vifaa vya Kufanya Mapenzi: Kuingiza Burudani katika Uhusiano wako

Kutumia Vifaa vya Kufanya Mapenzi: Kuingiza Burudani katika Uhusiano wako

  1. Kuweka Burudani katika Uhusiano wako

Uhusiano wa kimapenzi unaweza kuhitaji u... Read More

Jinsi ya Kuunganisha Kizazi: Kuweka Mipango na Kujenga Ushirikiano katika Familia

Jinsi ya Kuunganisha Kizazi: Kuweka Mipango na Kujenga Ushirikiano katika Familia

Kuunganisha kizazi ni muhimu sana katika familia. Ni jambo linalofanya familia iwe na nguvu na ku... Read More

Vidokezo vya Kuonyesha Heshima kwa Ndugu za Msichana Wako

Vidokezo vya Kuonyesha Heshima kwa Ndugu za Msichana Wako

Leo tutazungumzia kuhusu vidokezo vya kuonyesha heshima kwa ndugu za msichana wako. Kama mwanaume... Read More

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Familia yako

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Familia yako

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Familia yako

  1. Andaa bajeti ya familia:... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya usawa wa kijinsia na haki

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya usawa wa kijinsia na haki

Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya usawa wa kijinsia na haki ni muhimu kwa kujenga ufahamu... Read More