Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mbinu za kumfanya mwanamke akukubali

Featured Image

Njia za kumfanya akukubali ni kama ifuatavyo


Uwe na muonekano mzuri


Wanawake wanapenda wanaume wasafi na watanashati kwa hiyo ukiwa msafi na mtanashati utakua na mvuto kwake. Hivyo utakapoamua kumshawishi kufanya mapenzi itakua rahisi yeye kuwa rahisi kukubali.


Mfanye ajisikie huru


Ni rahisi mwanamke kufanya mapenzi na mtu anayejisikia huru mbaele zake na ambaye yupo huru kuongea na kufanya nae mambo mengine ya kawaida katika maisha. Kwa hiyo ili uweze kumshawishi mwanamke kufanya mapenzi na wewe njia nzuri ni kumfanya ajisikie yupo huru mbele yako na kasha atakua huru kufanya mapenzi na wewe.


 

Mfurahishe


Mfanye ajisikie mwenye furaha kila anapokuwa na wewe na atamani kuwa na wewe. Akishajiskia mwenye furaha kila anapokuwa na wewe ni rahisi kushawishika kuwa na wewe kimapenzi.


Mfanye ajione kuwa yeye ni mzuri


Mwanamke anapenda sana na anavutiwa na mwanamme anayeona ubora wake au anayemsifia kuwa ni mzuri.


Mfanye akuamini


Mfanye aamini kwamba hata baada ya kufanya mapenzi bado mtakua pamoja na sio mwisho wa mahusiano yenu au urafiki wenu.


 

Usiwe na haraka, Mpe muda


Usiwe na haraka ya kumwambia kuwa unataka kufanya mapenzi na yeye bali subiri mpaka utakapoona yupo tayari au anaelekea kukuhitaji.


Mfanye akuone mwaminifu


Mfanye akuone mwaminifu kwa kutomchanganya na wanawake wengine. Usimuonyeshe kuwa una mahusiano na wanawake wengine. Mfanye aamini kuwa unamuhitaji yeye tuu.


 

Mjali kama mwanamke


Mfanye ajiskie kuwa mwanamke. Jaribu kuonyesha kuwa mwelewa, onyesha kuwa unajali, mkarimu na muonyeshe kuwa wewe ni msaada kwake. Mfungulie mlango, mbebee begi au pochi yake n.k.


Onyesha kuwa unapenda kila kitu kutoka kwake


Muonyeshe kuwa unampenda yeye na vyote vyake. Onyesha kuwa umevutiwa na yeye na mambo yake yote na sio mwili wake tuu.






Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE




Kitabu hiki kina topiki Zifuatazo;
1. Mambo anayohitaji mwanamke kutoka kwa Mwanaume
2. Mambo yanayowavutia wanawake kutoka kwa wanaume
3. Mambo wanayoyapenda wanawake wakati wa kufanya mapenzi
4. Dalili za mwanamke kicheche
5. Maswali ya kujiuliza kama mwanamke anakupenda kwa dhati au anakudanganya
6. Tabia za mwanamke anayekupenda lakini hawezi kusema
7. Ishara za mwanamke aliyevutiwa na wewe
8. Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali
9. Mambo ambayo mwanamke hawezi kukwambia
10. Njia za kudumisha na kuamsha mapenzi na mwanamke





Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kirahisi kabisa hata kwenye simu yako. Utatumiwa Kopi ya kitabu hiki kwenye email yako na utaweza kukihifadhi na kusoma wakati wowote utakaotaka.





[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuunda Mazingira ya Kuwawezesha Watoto kufikia Malengo Yao

Jinsi ya Kuunda Mazingira ya Kuwawezesha Watoto kufikia Malengo Yao

Kuwawezesha watoto kufikia malengo yao ni jambo muhimu sana katika kuhakikisha kuwa wanakuwa na m... Read More

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Kila mwanamume anapenda kukutana na msichana ambaye anaweza kuwa rafiki wa karibu na kuwa na uhus... Read More

Jinsi ya Kuunganisha Kizazi: Kuweka Mipango na Kujenga Ushirikiano katika Familia

Jinsi ya Kuunganisha Kizazi: Kuweka Mipango na Kujenga Ushirikiano katika Familia

Kuunganisha kizazi ni muhimu sana katika familia. Ni jambo linalofanya familia iwe na nguvu na ku... Read More

Kujenga Ushirikiano wenye Kusudi na Kuunga Mkono Malengo ya Kibinafsi katika Mahusiano

Kujenga Ushirikiano wenye Kusudi na Kuunga Mkono Malengo ya Kibinafsi katika Mahusiano

Kujenga ushirikiano wenye kusudi na kuunga mkono malengo ya kibinafsi katika mahusiano ni muhimu ... Read More

Jinsi ya Kuunda Amani na Furaha katika Familia Yako

Jinsi ya Kuunda Amani na Furaha katika Familia Yako

Kuunda amani na furaha katika familia yako ni muhimu sana. Familia ni eneo la usalama, upendo na ... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya rangi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya rangi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, umewahi kufanya mapenzi ukatumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya ra... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Urafiki na Kujenga Uhusiano Mzuri katika Familia

Kuweka Kipaumbele cha Urafiki na Kujenga Uhusiano Mzuri katika Familia

Kuweka kipaumbele cha urafiki na kujenga uhusiano mzuri katika familia ni jambo muhimu sana katik... Read More

Jinsi Kuaminiana na Kuwa Wazi katika Mahusiano yako na mke wako

Jinsi Kuaminiana na Kuwa Wazi katika Mahusiano yako na mke wako

Kuaminiana na kuwa wazi ni msingi muhimu wa mahusiano imara na yenye furaha na mke wako. Hapa kuna n... Read More
Kufanya Mapenzi na Kuzeeka: Kufurahia Intimiteti katika Hatua Zote za Maisha

Kufanya Mapenzi na Kuzeeka: Kufurahia Intimiteti katika Hatua Zote za Maisha

Kufanya Mapenzi na Kuzeeka: Kufurahia Intimiteti katika Hatua Zote za Maisha

Kuna wakati m... Read More

Kujenga Mazingira ya Ushirikiano na Kuthamini katika Familia

Kujenga Mazingira ya Ushirikiano na Kuthamini katika Familia

Kujenga Mazingira ya Ushirikiano na Kuthamini katika Familia

Familia ni taasisi muhimu san... Read More

Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako

Vidokezo vya Kuonyesha Shukrani kwa Msichana Wako

Kumwonyesha shukrani msichana wako ni njia moja ya kumfanya ajisikie muhimu na kupendwa. Kwa hiyo... Read More

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako? Swali hili limekuwa li... Read More