Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu

Featured Image

Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kutokuwa na kitu

Kutokuwa na kitu

Kukosa mtu, kitu au jambo fulani kunasababila Moyo kujenga upendo kwenye mtu, kitu au... Read More

Biashara ya maisha

Biashara ya maisha

Biashara ya maisha ni kusonga mbele tuu. Maisha hayarudi nyuma wala hayafai kurudisha nyuma. Mais... Read More

Siri ya kushinda hasira

Siri ya kushinda hasira

Siri kuu ya kuishinda hasira yako ni kusubiri kabla ya kutenda unapokuwa na hasira.Read More

Maendeleo kwa mfano wa Kobe

Maendeleo kwa mfano wa Kobe

Huwezi kupata maendeleo kwa kusitasita na kuogopaogopa. Hata kobe anayesonga mbele ni... Read More

Urithi wa mtu

Urithi wa mtu

Kila mtu ni mrithi wake yeye mwenyewe. Mafanikio yako ya baadae ni urithi wako uliout... Read More

Hakuna uwezo Bila fursa

Hakuna uwezo Bila fursa

Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya... Read More

Maneno na matendo

Maneno na matendo

Uwe mzuri kwenye kufanya kama ulivyo kwenye kufikiri. Matendo yako yafanane na maneno... Read More

Matendo ya mtu

Matendo ya mtu

Matendo ya mtu ni tafsiri kuu ya mawazo yake.

... Read More
Kuacha jambo au kitu chochote

Kuacha jambo au kitu chochote

Kuacha kitu chochote kabisa moja kwa moja ni rahisi sana kuliko kufanya kitu hicho ki... Read More

Thamani ya faida

Thamani ya faida

Huwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagh... Read More

Vile unavyotoa ndivyo unavyopokea

Vile unavyotoa ndivyo unavyopokea

Vile unavyotoa ndivyo unavyopokea. Yule anayetoa sana ndiye ansyepokea sana. Kutoa ni... Read More

Kinga ya magonjwa na madhara yote

Kinga ya magonjwa na madhara yote

Katika maisha, kinga kuu ya magonjwa na majanga yote ni kujikatalia au kujinyima.

... Read More