Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mahiga (Guest) on July 17, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Khalifa (Guest) on July 4, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Kimaro (Guest) on June 24, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on June 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on May 23, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Susan Wangari (Guest) on May 9, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mashaka (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

David Nyerere (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Frank Macha (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on February 24, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Guest (Guest) on December 6, 2025

dawa ya moto n moto

Samson Mahiga (Guest) on February 2, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kazija (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Agnes Sumaye (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on January 21, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Zawadi (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Azima (Guest) on December 13, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on December 8, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Issa (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yusra (Guest) on November 9, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James Malima (Guest) on November 8, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Shabani (Guest) on October 29, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Mrope (Guest) on October 8, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Agnes Lowassa (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Abubakar (Guest) on September 23, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Vincent Mwangangi (Guest) on September 13, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Amollo (Guest) on September 10, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 9, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on September 8, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Minja (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 31, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Abdillah (Guest) on July 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Arifa (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwajuma (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Mwangi (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on June 15, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Omar (Guest) on May 30, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nancy Komba (Guest) on April 19, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on April 9, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Musyoka (Guest) on April 8, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nassar (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on February 14, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mzee (Guest) on February 7, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Daniel Obura (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jackson Makori (Guest) on January 10, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jafari (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Habiba (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 10, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on October 29, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on October 8, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Emily Chepngeno (Guest) on September 23, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 5, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More