Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Featured Image

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi

UFAFANUZI

1. Hazeeki kwa sababu hufa mapema kwa kifua kikuu

2. Haumwi na mbwa kwa vile kifua na mapafu yanapooza na hulazimika kutembea na bakora

3. Nyumbani kwake haingii mwizi kwa kuwa inafika wakati ambapo halali:
atakohoa usiku kucha hivyo mwizi anajua yupo macho
kumbe kikohozi tu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Kawawa (Guest) on March 7, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

James Malima (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on February 6, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on January 9, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on December 22, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on December 20, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on December 3, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on November 27, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on September 23, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Makame (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mzee (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mary Sokoine (Guest) on August 22, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Kipkemboi (Guest) on June 18, 2016

😊🀣πŸ”₯

Elizabeth Mrope (Guest) on June 11, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on May 31, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on May 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Mwalimu (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Emily Chepngeno (Guest) on April 17, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on March 27, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on March 15, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on March 11, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Elizabeth Mtei (Guest) on February 18, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on February 4, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Bakari (Guest) on January 11, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ruth Mtangi (Guest) on December 10, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on December 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shukuru (Guest) on October 13, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jane Muthui (Guest) on October 10, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on October 3, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on October 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on September 21, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on September 14, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam (Guest) on September 13, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on September 7, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

George Tenga (Guest) on August 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mrope (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Anna Mahiga (Guest) on August 15, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Umi (Guest) on July 11, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fredrick Mutiso (Guest) on June 9, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joyce Aoko (Guest) on May 14, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Shabani (Guest) on April 28, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Related Posts

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More