Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Featured Image

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi dar haiwezekani
MAMA:- Mme wangu morogoro ulienda bila kuniaga! ?
BABA:- Ilikuwa ni ghafla sana mke wangu sikuweza kukwambia
MAMA:- kha! Sasa watoto nani atawaangalia
BABA:- Unasemaje! We uko wapi kwan
MAMA:- Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi.
BABA:- Unasemaje we mwanamke.. nakwambia nikukute nyumban ndani ya dk 15
Baada ya dk 15 Baba kafika nyumban.
MAMA:- Haya umefkaje kutoka morogoro?
BABA:- Nimepewa lift na helkopta ya Mbowe..

Kama umeipenda shea na rfiki zakooo…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zulekha (Guest) on November 14, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 13, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on October 9, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on September 23, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on August 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 11, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on August 3, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Philip Nyaga (Guest) on July 4, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on June 6, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on May 18, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Athumani (Guest) on May 13, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on May 10, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Malecela (Guest) on April 10, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Warda (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Susan Wangari (Guest) on February 20, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on February 5, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Cheruiyot (Guest) on December 30, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 30, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Khamis (Guest) on December 3, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 15, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Saidi (Guest) on September 19, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Ali (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Hellen Nduta (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2016

Asante Ackyshine

Joseph Njoroge (Guest) on July 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sofia (Guest) on June 11, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Jane Malecela (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwalimu (Guest) on April 28, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Mrema (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Masika (Guest) on March 22, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alice Jebet (Guest) on March 16, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Mary Kidata (Guest) on March 8, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanakhamis (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on February 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Issack (Guest) on January 21, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Patrick Kidata (Guest) on January 10, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Rahim (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Mary Mrope (Guest) on November 11, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Peter Mwambui (Guest) on September 15, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

David Chacha (Guest) on September 6, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Chiku (Guest) on August 10, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on July 10, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on June 25, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mwinyi (Guest) on June 14, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 1, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on May 18, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Related Posts

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More