Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on April 14, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Fikiri (Guest) on April 9, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on April 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 17, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mwafirika (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumari (Guest) on January 31, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 17, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rehema (Guest) on January 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alice Mrema (Guest) on December 26, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Binti (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Ann Wambui (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Philip Nyaga (Guest) on October 28, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on October 12, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on October 7, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elijah Mutua (Guest) on September 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Alice Wanjiru (Guest) on September 10, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Raphael Okoth (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Paul Kamau (Guest) on June 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on June 21, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Mwangi (Guest) on June 11, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jane Malecela (Guest) on May 6, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

John Lissu (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 10, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nahida (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Agnes Njeri (Guest) on February 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rahma (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Betty Cheruiyot (Guest) on December 21, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Lissu (Guest) on December 9, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 7, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

John Mushi (Guest) on December 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 21, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 12, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Mbithe (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on October 25, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on September 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Martin Otieno (Guest) on September 11, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwanajuma (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Baraka (Guest) on June 24, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on June 12, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Yahya (Guest) on May 24, 2015

Asante Ackyshine

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on May 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Mushi (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Lissu (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More