Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarafina (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Sumari (Guest) on July 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on May 3, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 2, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on March 29, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on March 21, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on February 6, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on February 2, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 2, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on January 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Faith Kariuki (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Zuhura (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Philip Nyaga (Guest) on November 27, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Michael Mboya (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on October 31, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Yusra (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Fatuma (Guest) on September 1, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nora Lowassa (Guest) on August 11, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

James Mduma (Guest) on August 10, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mwangi (Guest) on July 11, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on July 9, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on July 7, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sumaya (Guest) on July 7, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on June 12, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nyota (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarah Karani (Guest) on April 18, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on March 25, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on February 28, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kijakazi (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on February 8, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on January 25, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ibrahim (Guest) on January 17, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 28, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on December 21, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Fatuma (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Paul Kamau (Guest) on October 21, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Rashid (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Kamande (Guest) on September 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Wafula (Guest) on September 10, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 3, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on June 1, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on May 20, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rukia (Guest) on May 11, 2015

Asante Ackyshine

Jacob Kiplangat (Guest) on May 10, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on April 1, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More