Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima awe golikipa
3.Mwenye mpira ataamua nan acheze na nan asicheze





4.kama haujashiriki kufuma mpira unaweza ucpate namba
5.Ukichaguliwa mwishon ujue uwezo wako ni mdogo kuliko wote
6.Mwenye mpira akikaclika mpira umeisha
7.Inaruhusiwa kubadili golikipa kama ikitokea penat na baada ya apo ataendelea kudaka yule yule
8.Mechi itaisha pale giza linapoingia
9.wale ambao wamekosa namba kazi yao ni kufata mpira ukitoka
10.yule mtaalam wa soka {KM MIMI } huwa hakoc namba ata cku moja!
Ukiikumbuka lazima utabasam!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Binti (Guest) on September 27, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Benjamin Masanja (Guest) on September 18, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 8, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on August 24, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Halimah (Guest) on August 15, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on June 18, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on June 18, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Daniel Obura (Guest) on June 12, 2017

🀣πŸ”₯😊

Mariam Kawawa (Guest) on April 21, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on April 19, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Sokoine (Guest) on April 19, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

George Mallya (Guest) on April 11, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jane Muthui (Guest) on April 2, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ahmed (Guest) on March 17, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kenneth Murithi (Guest) on March 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on February 28, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

James Kawawa (Guest) on February 12, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Robert Okello (Guest) on January 14, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on January 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Abubakar (Guest) on October 12, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mahiga (Guest) on October 5, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on September 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on September 2, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Mugendi (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on July 26, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on July 20, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 2, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Tabu (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mchuma (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 10, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Andrew Mchome (Guest) on May 1, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on April 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 13, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 13, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 1, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Bernard Oduor (Guest) on March 12, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on February 26, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on February 17, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 7, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Tenga (Guest) on October 25, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on October 15, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on October 7, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on September 7, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on August 22, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on July 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on June 11, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on May 7, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ruth Mtangi (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Related Posts

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More