Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Ndomba (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Njeri (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on July 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 21, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on May 17, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 16, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Mahiga (Guest) on May 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Samuel Were (Guest) on May 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on March 19, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on March 4, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 6, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on December 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Maimuna (Guest) on October 31, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jamila (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on October 10, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Patrick Akech (Guest) on September 28, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on September 20, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 16, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sofia (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Christopher Oloo (Guest) on July 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on July 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kassim (Guest) on May 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Irene Akoth (Guest) on May 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 6, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nekesa (Guest) on April 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Wilson Ombati (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Kenneth Murithi (Guest) on February 20, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Majid (Guest) on February 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mustafa (Guest) on February 8, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 7, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on January 9, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on December 25, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Francis Njeru (Guest) on December 24, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on December 13, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Safiya (Guest) on November 30, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Salima (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Wairimu (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Kawawa (Guest) on October 30, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Zulekha (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mrema (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwakisu (Guest) on August 23, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Linda Karimi (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Faiza (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on July 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More