Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kiza (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Mahiga (Guest) on November 29, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on November 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jamal (Guest) on November 6, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Fikiri (Guest) on November 6, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Malima (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Michael Onyango (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anthony Kariuki (Guest) on October 9, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on September 29, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on September 29, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Frank Macha (Guest) on September 10, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Fatuma (Guest) on August 28, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on August 18, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on August 6, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 23, 2016

🀣πŸ”₯😊

Alice Jebet (Guest) on July 2, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwajabu (Guest) on June 27, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on June 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on June 13, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 30, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on May 22, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 18, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on May 15, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 27, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 19, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

George Ndungu (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Grace Njuguna (Guest) on March 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on January 23, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on January 11, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Alice Mrema (Guest) on December 21, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on December 18, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on November 18, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Muslima (Guest) on November 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Edward Lowassa (Guest) on October 17, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on October 14, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Lowassa (Guest) on October 5, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on September 29, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kahina (Guest) on September 21, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Irene Akoth (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Lucy Mushi (Guest) on August 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on August 12, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on July 27, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

James Mduma (Guest) on May 23, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on April 24, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on April 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on April 6, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More