Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Sumaye (Guest) on September 5, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daudi (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Francis Mtangi (Guest) on June 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on June 19, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Masika (Guest) on April 10, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on April 1, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 30, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 9, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Diana Mallya (Guest) on February 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rahim (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on December 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwalimu (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Philip Nyaga (Guest) on December 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on November 30, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Achieng (Guest) on November 6, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Hashim (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on November 3, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ndoto (Guest) on November 1, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on October 1, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on August 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Chacha (Guest) on August 4, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Zawadi (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Mbithe (Guest) on June 4, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on May 15, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on May 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on March 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on February 21, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Nancy Kabura (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on February 2, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Robert Okello (Guest) on January 8, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on January 4, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on January 4, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Leila (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on December 24, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

George Tenga (Guest) on November 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Lissu (Guest) on November 1, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Nkya (Guest) on October 6, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Ahmed (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on September 3, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Mligo (Guest) on July 24, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Kitine (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on June 21, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sofia (Guest) on June 11, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Edward Chepkoech (Guest) on June 5, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Richard Mulwa (Guest) on April 16, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More