Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nashon (Guest) on November 18, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Catherine Naliaka (Guest) on November 1, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 14, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on September 16, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Malisa (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamim (Guest) on August 7, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Janet Sumari (Guest) on June 17, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on June 15, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Omari (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Mduma (Guest) on May 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on May 16, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Salima (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Omar (Guest) on March 14, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on March 7, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mchuma (Guest) on March 6, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Jackson Makori (Guest) on February 19, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Khamis (Guest) on February 12, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nekesa (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Kimaro (Guest) on January 7, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on December 14, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on December 11, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwafirika (Guest) on December 4, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Robert Okello (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Monica Lissu (Guest) on August 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bakari (Guest) on August 28, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Sumari (Guest) on August 4, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Catherine Naliaka (Guest) on May 16, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Josephine (Guest) on April 19, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on April 18, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on March 31, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on March 27, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on February 8, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mahiga (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on January 20, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 6, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on December 16, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on November 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on November 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 24, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mhina (Guest) on October 19, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Rose Kiwanga (Guest) on October 13, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Francis Mrope (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on August 28, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Charles Wafula (Guest) on August 26, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on August 13, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Wambui (Guest) on July 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on June 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on June 16, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anna Sumari (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Karani (Guest) on May 9, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Amollo (Guest) on April 17, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Related Posts

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More