Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Featured Image

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda​

Konda- bibi twende sit kibao ata utalala

Bibi - oooh sawa mjukuu

Konda - simama tu apo wanashuka mbele

Bibi - akacheka sana tu

Konda- mbona unacheka bibi

Bibi - mjukuu hawa wote hawashuki wanakufa apo mbele

Watu- simamisha gar

Saiv bibi kabaki mwenyewe amelala sit ya nyumaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rehema (Guest) on June 23, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on June 14, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on May 28, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on April 7, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Baraka (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Sarafina (Guest) on March 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Lydia Wanyama (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Hawa (Guest) on February 13, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Henry Sokoine (Guest) on January 29, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on January 16, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on January 2, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on December 5, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on December 1, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Maida (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Stephen Amollo (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on August 23, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on May 23, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on May 22, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Peter Mugendi (Guest) on April 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on April 3, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on March 31, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on March 27, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ramadhan (Guest) on March 6, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Jaffar (Guest) on March 1, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 1, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on January 24, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on January 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on January 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on January 12, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on December 23, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on December 22, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Malima (Guest) on December 3, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 1, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Faiza (Guest) on November 12, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Grace Minja (Guest) on October 19, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Zawadi (Guest) on October 10, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on September 20, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Janet Mwikali (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nyota (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on July 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Grace Mushi (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on June 10, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 2, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on May 6, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Michael Onyango (Guest) on May 2, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on April 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More