Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on November 30, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nora Kidata (Guest) on November 26, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Henry Mollel (Guest) on October 9, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on October 7, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Amukowa (Guest) on September 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on September 4, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joseph Kitine (Guest) on August 3, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Kimani (Guest) on July 28, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 29, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on May 22, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mustafa (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Musyoka (Guest) on March 6, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kiza (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on January 22, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Lissu (Guest) on January 19, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Ahmed (Guest) on December 16, 2016

Asante Ackyshine

Mwanaisha (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nancy Akumu (Guest) on November 16, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on October 22, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Mallya (Guest) on October 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on October 18, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Nasra (Guest) on September 29, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 15, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Safiya (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Joseph Kitine (Guest) on June 1, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwakisu (Guest) on May 18, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Catherine Naliaka (Guest) on March 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Chacha (Guest) on March 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on March 1, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on February 18, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ramadhan (Guest) on January 27, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on December 30, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rukia (Guest) on December 11, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Simon Kiprono (Guest) on December 2, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on November 29, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Muslima (Guest) on November 25, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on November 2, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Janet Mwikali (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on September 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on September 4, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sultan (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Sokoine (Guest) on August 30, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on August 23, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on July 20, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Daudi (Guest) on June 30, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Malima (Guest) on June 5, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More