Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio kwani vp?

Mbona hatuoni matunda yake?

Kwani mi nlienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa TIA, IFM na IAA wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????

Hamna sio hvyo umeenda mbali kaka

Kama kilomita ngapi?

Haya yaishe bhana…

Ukome kwa kiherehere

Nitukane tuu unakumbuka kuna SKU nlkupa buku ya nauli?

Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku

Kwani mi nimesema unilipe

Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu

Simple lyke dat Viherehere huwa tunawajbu HVOβ€¦β€¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jackson Makori (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Lucy Kimotho (Guest) on May 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 18, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on April 26, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 30, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on March 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Leila (Guest) on March 6, 2017

Asante Ackyshine

Mary Kendi (Guest) on December 28, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on December 6, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on November 20, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Bernard Oduor (Guest) on November 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Latifa (Guest) on October 1, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ibrahim (Guest) on September 30, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on September 28, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Shukuru (Guest) on September 23, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joy Wacera (Guest) on September 22, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on September 9, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on July 9, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 7, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on July 5, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on June 19, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on June 5, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Edward Lowassa (Guest) on June 5, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chum (Guest) on April 28, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Kimario (Guest) on April 18, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Amani (Guest) on March 31, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mtumwa (Guest) on March 16, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Mushi (Guest) on March 1, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 28, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Malima (Guest) on February 26, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on February 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Musyoka (Guest) on January 31, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Nyerere (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on January 27, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on January 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on January 11, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Njeri (Guest) on January 6, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Brian Karanja (Guest) on December 7, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on November 30, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mwikali (Guest) on November 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on October 21, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Sokoine (Guest) on October 3, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mercy Atieno (Guest) on August 25, 2015

🀣πŸ”₯😊

Rose Kiwanga (Guest) on August 21, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on August 21, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on August 18, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 4, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Masika (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Faith Kariuki (Guest) on May 23, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Warda (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More