Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

NAKUA kaingia ndani kamkuta mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati
NAKUA: Aise unajua we fala sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na mwanao.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Philip Nyaga (Guest) on September 18, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Daniel Obura (Guest) on August 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on August 16, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

James Kimani (Guest) on July 8, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on April 8, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Francis Mtangi (Guest) on April 6, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Wilson Ombati (Guest) on April 1, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Kikwete (Guest) on March 31, 2017

🀣πŸ”₯😊

David Musyoka (Guest) on March 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Sokoine (Guest) on February 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on January 29, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Moses Kipkemboi (Guest) on January 18, 2017

😊🀣πŸ”₯

Sarah Achieng (Guest) on January 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on January 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on December 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on December 12, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on December 6, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mchome (Guest) on December 5, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Halimah (Guest) on November 26, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Chris Okello (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Makame (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Moses Mwita (Guest) on October 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on October 10, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joyce Mussa (Guest) on September 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 11, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on August 9, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on July 30, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Robert Okello (Guest) on July 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on May 5, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on May 5, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on May 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on April 12, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on March 9, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on March 3, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on January 19, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on January 13, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Moses Kipkemboi (Guest) on January 12, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on December 29, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sekela (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mboje (Guest) on September 29, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on September 25, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Shabani (Guest) on September 23, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Warda (Guest) on September 21, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Margaret Anyango (Guest) on July 25, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Habiba (Guest) on July 20, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on July 7, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mary Njeri (Guest) on July 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on July 2, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Paul Kamau (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Charles Mboje (Guest) on April 15, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Zawadi (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Waithera (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Related Posts

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More