Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Featured Image

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe…

Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga)
Anna: Haya nionyeshe sasa!..
Zuzu: Zima taa kwanza (akazima)
Anna: Mhm…nionyeshe sasa!
Zuzu: Haya njoo hapa kitandani…
Anna: Ok, nionyeshe!
Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizani… Acha mawazo mabaya ww???

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nahida (Guest) on May 14, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Joseph Mallya (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Juma (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Lucy Wangui (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 28, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Asha (Guest) on March 16, 2017

Asante Ackyshine

Charles Mboje (Guest) on March 3, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Mbithe (Guest) on February 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mwachumu (Guest) on February 2, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Mushi (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Kimario (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Alex Nyamweya (Guest) on December 12, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on November 23, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 20, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on November 14, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Irene Akoth (Guest) on November 4, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Shani (Guest) on October 25, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Kimario (Guest) on October 10, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on October 2, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Komba (Guest) on September 11, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Kidata (Guest) on August 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on July 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maida (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Paul Kamau (Guest) on June 11, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nassor (Guest) on June 1, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on May 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on April 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

George Tenga (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Amollo (Guest) on March 19, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on March 5, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 27, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Faiza (Guest) on February 12, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on January 10, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 12, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Waithera (Guest) on November 6, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nassar (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on October 22, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on October 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on September 16, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on August 10, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on July 13, 2015

🀣πŸ”₯😊

David Musyoka (Guest) on July 12, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Miriam Mchome (Guest) on June 20, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on May 23, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Lydia Mutheu (Guest) on May 18, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mhina (Guest) on April 26, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Josephine Nduta (Guest) on April 22, 2015

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More