Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Akoth (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Abdullah (Guest) on July 22, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on July 16, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Latifa (Guest) on July 7, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Michael Mboya (Guest) on June 30, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Mbise (Guest) on June 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on June 12, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 30, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 24, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on May 1, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Agnes Lowassa (Guest) on April 12, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on April 10, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanais (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on December 3, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Zakia (Guest) on November 28, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on November 11, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 8, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Issack (Guest) on October 19, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Akumu (Guest) on September 22, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Issack (Guest) on September 21, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Arifa (Guest) on August 26, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Mohamed (Guest) on August 23, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on August 14, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on July 24, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on July 17, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on June 9, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on June 6, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on May 20, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 15, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on April 25, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Mugendi (Guest) on April 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Amir (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Kitine (Guest) on March 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on March 11, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mazrui (Guest) on February 18, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Francis Mtangi (Guest) on January 20, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on January 2, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on December 12, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 11, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on November 26, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nuru (Guest) on November 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Amukowa (Guest) on October 28, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on October 27, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on October 7, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Malima (Guest) on September 19, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Mushi (Guest) on September 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on August 28, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Esther Nyambura (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Zulekha (Guest) on August 2, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Mbise (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

James Kawawa (Guest) on July 11, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on June 28, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on June 13, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More