Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Onyango (Guest) on July 6, 2019

Asante Ackyshine

Samuel Omondi (Guest) on June 24, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on June 17, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Zakaria (Guest) on May 21, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Wande (Guest) on May 11, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mrope (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Zakaria (Guest) on March 30, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam Hassan (Guest) on March 11, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Faiza (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ali (Guest) on February 5, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwanaisha (Guest) on February 2, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on January 19, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on December 4, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Masika (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mohamed (Guest) on November 15, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Malela (Guest) on October 9, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on September 16, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Brian Karanja (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on September 15, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Shamim (Guest) on September 10, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Raha (Guest) on September 3, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Faith Kariuki (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on August 28, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on August 15, 2018

😊🀣πŸ”₯

Philip Nyaga (Guest) on August 14, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Masika (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on July 20, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Stephen Mushi (Guest) on June 6, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Karani (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anthony Kariuki (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Malisa (Guest) on April 8, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on March 24, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on March 17, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Kamande (Guest) on February 5, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nasra (Guest) on December 30, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Hellen Nduta (Guest) on December 17, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on November 18, 2017

🀣πŸ”₯😊

Edith Cherotich (Guest) on November 18, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on November 11, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on October 26, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Betty Akinyi (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on September 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on August 17, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 31, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on July 26, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on July 16, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwakisu (Guest) on July 14, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Patrick Mutua (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joyce Mussa (Guest) on June 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on June 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 31, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joseph Kitine (Guest) on April 27, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharifa (Guest) on March 31, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Related Posts

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More