Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Featured Image

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo:
Manka 35,000
Marieta 20,000
Kekuu 30,000





Kitime 15,000
Kinabo 10,000
TOTAL 110,000/=
MASSAWE akaicheki akasema "Wote nitawalipia lakini huyo "TOTAL" Yesuu simlipii.
Kwansa anamiliki sheli kibao sa mafuta hapa bongo. Shensi taip ! Na amekunywa nyingi kuliko wote alipe mwenyewe…


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Kamau (Guest) on May 26, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanais (Guest) on May 16, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Martin Otieno (Guest) on May 15, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Selemani (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Catherine Naliaka (Guest) on April 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mrope (Guest) on April 21, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mashaka (Guest) on April 19, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwakisu (Guest) on April 5, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on April 4, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sultan (Guest) on March 12, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on March 11, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nassar (Guest) on March 3, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on February 22, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Makame (Guest) on January 25, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Majaliwa (Guest) on January 25, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on December 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on December 21, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 15, 2018

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on October 18, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Masika (Guest) on October 12, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Wanjiru (Guest) on September 1, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Maimuna (Guest) on August 9, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Daniel Obura (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Mtei (Guest) on June 7, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on May 29, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 15, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Diana Mumbua (Guest) on April 11, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on March 13, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

James Kawawa (Guest) on March 9, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Charles Mboje (Guest) on March 4, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Raha (Guest) on February 9, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jackson Makori (Guest) on January 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on January 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Linda Karimi (Guest) on January 2, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

John Kamande (Guest) on December 20, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Edward Lowassa (Guest) on December 10, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 6, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on November 4, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Violet Mumo (Guest) on September 14, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 13, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 11, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on September 6, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Saidi (Guest) on August 24, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mustafa (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Linda Karimi (Guest) on July 31, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on July 24, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on July 9, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Akech (Guest) on July 4, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mjaka (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daniel Obura (Guest) on June 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Musyoka (Guest) on June 24, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More