Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa





AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo
ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke
ASKARI: Bado mkuu
AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini
ASKARI: Si tunangoja sakafu ikauke


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Tabitha Okumu (Guest) on February 4, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Warda (Guest) on January 21, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on January 17, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Karani (Guest) on November 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hashim (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Andrew Mahiga (Guest) on October 25, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on September 29, 2019

🀣πŸ”₯😊

Stephen Kangethe (Guest) on September 26, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on September 14, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on July 26, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samuel Omondi (Guest) on July 8, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Charles Mchome (Guest) on June 26, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on June 18, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Shani (Guest) on May 13, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwanakhamis (Guest) on May 7, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rashid (Guest) on April 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on April 9, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwagonda (Guest) on March 1, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on February 14, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on January 28, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Kimaro (Guest) on January 5, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Abdullah (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Athumani (Guest) on December 5, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Azima (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Malima (Guest) on October 11, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Richard Mulwa (Guest) on October 6, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Kenneth Murithi (Guest) on September 17, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on September 11, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Sumari (Guest) on September 5, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on August 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Kimaro (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on July 26, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on July 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Kangethe (Guest) on May 30, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on May 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Bakari (Guest) on May 3, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on May 2, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 26, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on April 10, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

James Malima (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Violet Mumo (Guest) on March 14, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Makame (Guest) on March 9, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Zawadi (Guest) on February 28, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Linda Karimi (Guest) on February 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mushi (Guest) on January 29, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on January 7, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on November 29, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Asha (Guest) on September 22, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kevin Maina (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More