Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:





MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on January 11, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakar (Guest) on December 29, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Kibwana (Guest) on December 17, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 2, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on November 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 21, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rashid (Guest) on October 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Wambui (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on October 9, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on October 2, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on September 24, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Masika (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on July 21, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 9, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Hashim (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Amani (Guest) on June 24, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Minja (Guest) on May 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

David Nyerere (Guest) on April 26, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 11, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ahmed (Guest) on April 7, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on March 3, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rashid (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Safiya (Guest) on February 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Issack (Guest) on January 28, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Francis Njeru (Guest) on December 5, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Shabani (Guest) on November 30, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on November 22, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Makame (Guest) on November 9, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 20, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Ann Awino (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 25, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Were (Guest) on July 19, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on July 15, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on June 28, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joyce Nkya (Guest) on June 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 4, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rehema (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ann Awino (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Kibona (Guest) on May 8, 2018

🀣πŸ”₯😊

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 20, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on April 13, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on March 25, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Lowassa (Guest) on March 13, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Grace Wairimu (Guest) on February 19, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on February 19, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chris Okello (Guest) on January 30, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on January 13, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Betty Kimaro (Guest) on November 5, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on October 23, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on October 1, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Related Posts

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More