Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Featured Image

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wake wa makopo akaona chupa ambayo ndani kuna ki2, alipoifungua likatoka jitu la ajabu. Huku akitetemeka lile jitu likamwambia kijana asante sana kwa kuniokoa omba vi2 viwili sasa hivi. Kijana kwa hofu akaomba pesa za kumiliki magari na majumba ya kifahari. Ghafla fuko la hela na pete ya bahati vikadondoka. Akaambiwa ombi la pili,akasema nibadilishe niwe kivutio ili nipendwe sana nakina dada Hapohapo akageuzwa akawa chipsi yai.!!πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Masanja (Guest) on July 5, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

David Chacha (Guest) on June 19, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on April 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on March 25, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on March 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 2, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on February 4, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on January 23, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on January 13, 2019

Asante Ackyshine

John Lissu (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

George Mallya (Guest) on December 10, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwinyi (Guest) on November 29, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rose Kiwanga (Guest) on November 9, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 7, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on September 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on September 21, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on August 29, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on July 29, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Wambui (Guest) on June 29, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ahmed (Guest) on May 22, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Mwalimu (Guest) on May 10, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on April 19, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on March 14, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on December 22, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Alice Mwikali (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on November 18, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Mboje (Guest) on November 10, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on October 10, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on October 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Masika (Guest) on October 5, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Jackson Makori (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Maida (Guest) on September 23, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nancy Kawawa (Guest) on August 20, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on August 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on July 5, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on June 29, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 21, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Wairimu (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Wande (Guest) on June 10, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on May 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 9, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Charles Mrope (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on April 22, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jane Malecela (Guest) on April 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 17, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sultan (Guest) on March 31, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Yahya (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kenneth Murithi (Guest) on February 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on January 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Neema (Guest) on December 30, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Sumari (Guest) on December 10, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Related Posts

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More